3 Kisha, Yawe akanionyesha wafuachuma wane.
Nami nikauliza: Watu hawa wanakuja kufanya nini? Yeye akanijibu: Watu hawa wamekuja kuyatisha na kuyaangamiza yale mataifa yenye nguvu ambayo yaliishambulia inchi ya Yuda na kuwatawanya watu wake.
Yule malaika aliyeongea nami, akanifikia tena, akaniamusha kama vile kumwamusha mutu toka katika usingizi.
Naye akanijibu: Haujui maana ya vitu hivi? Nikamujibu: Sijui bwana wangu.
Yule malaika aliyeongea nami alinikaribia, akaniambia: Inua macho uone kile kinachokuja.