Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




ZAKARIA 13:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Na mutu akimwuliza mumoja wao: “Vidonda hivi unavyokuwa navyo kwenye mikono yako vimetoka wapi?” Yeye atajibu: “Vidonda hivi nilivipata katika nyumba ya warafiki zangu.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




ZAKARIA 13:6
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Manabii hao wakapiga kelele zaidi, wakajikatakata kwa visu na wembe, kufuatana na desturi yao, hata damu ikawatiririka.


Yehu akatwaa upinde wake na kutupa mushale ambao ulipenya mabega ya Yoramu na kuchoma moyo wake, naye akakufa palepale ndani ya gari lake.


Koo langu limekauka kama kigae; ulimi wangu unanata ndani ya kinywa changu. Wewe umenilaza pembeni ya kaburi.


Yawe wa majeshi anasema hivi: Amuka, ee upanga! Simama umushambulie muchungaji wangu, muchungaji anayenitumikia. Umuue muchungaji na kondoo watawanyike. Nitaunyoosha mukono wangu kwa kuwashambulia watu wazaifu.


Pilato akajibu: “Mimi si Muyuda. Watu wa taifa lako na wakubwa wa makuhani ndio waliokuleta kwangu. Umefanya nini?”


Na moshi wa ule moto wa mateso yao utakuwa ukipanda juu kwa milele na milele. Wale walioabudu yule nyama na sanamu yake na mutu yeyote aliyepigwa chapa ya jina lake, hawatapumzika hata siku moja usiku na muchana.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ