Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Zaburi 92:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Ni vizuri kukushukuru, ee Yawe, kuliimbia jina lako sifa, ee Mungu Mukubwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Zaburi 92:2
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mufalme Daudi na viongozi wa Walawi, wakachagua wazao wa Asafu, wa Hemani, na wa Yedutuni, kwa kuongoza katika kazi ya kutabiri kwa kutumia vinubi, na vinanda na matoazi. Haya ndiyo majina ya wale waliochaguliwa kwa kuongoza ibada, pamoja na aina ya kazi iliyofanywa na kila kikundi:


Lakini hakuna anayesema: “Yuko wapi Mungu, Muumba wangu, mwenye kunifanya nichangamuke usiku,


Zaburi ya Daudi. Wimbo wangu unaelekea wema na haki; ninauimba kwa heshima yako, ee Yawe.


Nitakutukuza kila siku; nitalisifu jina lako kwa milele na milele.


Haleluia! Kweli ni vizuri kumwimbia Mungu wetu sifa! Inapendeza na inastahili kumwimbia.


Mafuriko juu ya mafuriko yananguruma, mawimbi na zoruba yako vinanifunika.


Kinywa changu kitaeleza matendo yako ya haki, nitatangaza muchana kutwa matendo yako ya wokovu ijapokuwa hayo yanapita akili yangu.


Ninamulilia Mungu kwa sauti. Kwa sauti ninamulilia Mungu, anisikie.


Nitafurahi na kushangilia kwa ajili yako; nitaliimbia sifa jina lako, ewe Mungu Mukubwa.


Nitakumbusha mema ya Yawe, sifa za Yawe, matendo yake yote kwetu, mambo mazuri aliyowatendea Waisraeli, rehema yake, na wingi wa wema wake.


Sheria ya Mungu ilitolewa kwa njia ya Musa, lakini neema na ukweli vilikuja kwa njia ya Yesu Kristo.


Na katikati ya usiku, Paulo na Sila walikuwa wakimwomba Mungu na kumwimbia nyimbo za sifa, nao wafungwa wengine walikuwa wakiwasikiliza.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ