3 Angalia! Waadui zako wanafanya fujo; wanaokuchukia wanainua vichwa kwa kiburi.
anajificha katika maficho yake kama simba. Anavizia apate kuwakamata wamasikini; anawanasa kwa mutego wake na kuwachukua.
Kwa nini mataifa yanafanya fujo? Mbona watu wanafanya shauri la bure?
Siku ya taabu atanificha ndani ya nyumba yake; atanificha katika hema lake, atanilinda salama juu ya mulima.
Kweli, mazuri yako ni mengi sana, unayowawekea wale wanaokuabudu! Unawatendea mazuri mbele ya watu wote wale wanaokukimbilia.
Muchana kutwa wanatunga maneno juu yangu; mawazo yao yote ni ya kunizuru.
Ee Mungu, usikilize malalamiko yangu. Uyalinde maisha yangu kutoka vitisho vya waadui.
Ukikaa chini ya ulinzi wa Mungu Mukubwa, ukiishi chini ya kivuli cha Mungu Mwenye Nguvu,
Ni lazima tutafute werevu wa kuwapunguza na kuzuia wasiongezeke; kama sivyo, vita ikitokea watajiunga na waadui zetu na kutoroka inchi.”
Kwa maana ninyi mumekufa na uzima wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.
Wakati huo hakukuwa mufuaji yeyote wa vyuma katika inchi nzima ya Israeli, maana Wafilistini walikusudia kuwazuia Waebrania wasipate kujitengenezea mapanga au mikuki.