Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Zaburi 82:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Muimarishe sheria yangu kwa wazaifu na wayatima; muwatendee wasiojiweza na wamasikini kwa haki.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Zaburi 82:3
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nilimwokoa masikini aliyenililia kupata musaada, vilevile na yatima asiyekuwa na wa kumusaidia.


Kama nimekunjia yatima ngumi katika tribinali nikijua nitapendelewa na waamuzi,


Utawatendea haki wayatima na wanaoteswa, mwanadamu anayekuwa mavumbi asiweze tena kuleta hofu.


Usikuwe na upendeleo katika mashitaki ya masikini.


Usipotoshe haki masikini anayostahili katika mashitaki yake.


Sema kwa ajili yao na kuamua kwa haki, linda haki za wamasikini na wakosefu.


mujifunze kutenda mema. Mufuate sheria ya Mungu, mumusaidie mwenye kuteswa, mumupatie yatima haki yake, mutetee haki za wajane.


Wakubwa wako ni waasi; wanashirikiana na wizi. Kila mumoja anapenda kituliro, na kukimbilia zawadi. Hawamupatii yatima haki yake, haki za wajane si kitu kwao.


Enyi jamaa ya Daudi, Yawe anasema hivi: Kila asubui muamue maneno kufuatana na sheria yangu, muwakomboe wote walionyanganywa mali zao toka katika mikono ya watesaji. Kama si vile, hasira yangu itawaka kama moto, wala hakuna atakayeweza kuizimisha, kwa sababu ya matendo yenu maovu.


Aliwapatia haki wamasikini na wakosefu, na mambo yake yaliendeka vizuri. Si hivi ndivyo kunijua mimi? –Ni ujumbe wa Yawe.–


Yawe anasema hivi: Mufuate sheria yangu na kutenda kwa haki. Muokoe kila mutu aliyenyanganywa mali zake toka katika mikono ya mutesaji. Musiwatendee vibaya au kwa ukali wageni, wayatima na wajane, wala musimwange damu ya mutu asiyekuwa na kosa kwa nafasi hii.


wamenenepa na kungaa vizuri. Maovu yao hayana mwisho, hawahukumu yatima kwa kufuatana na sheria kusudi wapate kufanikiwa, wala hawatetei haki za watu wakosefu.


Yawe wa majeshi anasema hivi: Mutoe hukumu kwa haki, mutende mema na kuwa na huruma ninyi kwa ninyi.


Anatetea haki ya wayatima na wajane; vilevile anawapenda wageni na kuwapa chakula na nguo.


“Musipotoshe haki za wageni na wayatima. Wala musitwae nguo ya mujane kuwa rehani.


Dini inayokuwa safi na bila kosa mbele ya Mungu Baba ndiyo hii: kushugulikia wayatima na wajane wanaoteswa, na kujilinda mwenyewe na uchafu wa dunia hii.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ