5 Wanafanana na mukataji wa kuni, anayekata miti kwa shoka lake.
Solomono alikuwa na vibanda elfu makumi ine kwa ajili ya farasi wa magari yake ya kukokotwa, na waaskari wapanda-farasi elfu kumi na mbili.
Sasa basi, bwana wangu, tafazali ututumie sisi watumishi wako vitu ulivyosema: ngano, shayiri, mafuta na divai.