5 Lakini wote wanaokutafuta, wafurahi na kushangilia kwa sababu yako. Wote wanaopenda wokovu wako, waseme siku zote: “Mungu ni mukubwa!”
Mimi ni masikini na mukosefu; ninaumizwa mpaka ndani ya moyo wangu.
Kwa mukubwa wa waimbaji: Zaburi ya Daudi. Ninakulilia, ee Yawe, ukuje haraka kunisaidia! Usikilize sauti yangu wakati ninapokuita!
Lakini wanaokutafuta wafurahi na kushangilia. Wanaopenda uwaokoe waseme siku zote: “Yawe ni mukubwa!”
Uwafute katika kitabu cha wenye kuishi, wasikuwe katika hesabu ya watu wa haki.
Kwa maana, kama vile Maandiko haya Matakatifu yanavyosema: “Kunabaki wakati kidogo sana, yule anayepaswa kuja, afike wala hatakawia.
Mwenye kushuhudia maneno hayo anasema: “Ndiyo, ninakuja upesi!” Amina! Kuja Ee Bwana Yesu!