1 Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Daudi inayoelekea sadaka yake ya ukumbusho.
Ee Yawe, unijibu haraka; maana roho yangu imeregea kabisa! Usinigeuzie mugongo, kusudi nisikuwe kama wale wanaoshuka katika shimo la wafu.
Zaburi ya Daudi, inayoelekea sadaka yake ya ukumbusho.
Usimugeuzie mutumishi wako mugongo, unijibu haraka, maana niko katika hatari.
Usikae mbali nami, ee Mungu; ukuje haraka unisaidie, ee Mungu wangu.