Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Zaburi 69:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Nimekuwa mugeni kwa wandugu zangu, kaka na dada zangu hawanitambui.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Zaburi 69:9
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Naye akasema: “Ninaona uchungu na wivu, ee Yawe, Mungu wa majeshi, kwa sababu watu wa Israeli wamevunja agano lako, wakazibomoa mazabahu zako na kuwaua manabii wako kwa upanga; ni mimi tu niliyebaki, nami vilevile wananiwinda waniue!”


Tena zaidi ya vyote nilivyotoa kwa ajili ya nyumba takatifu, nina hazina yangu ya pekee ya zahabu na feza, na kwa sababu ninapenda nyumba ya Mungu wangu ninaitoa kwa nyumba ya Mungu wangu;


Mungu amewaweka wandugu zangu mbali nami; warafiki zangu wakubwa wamenitoroka kabisa.


Upendo wangu kwako unanifanya niwake hasira, maana waadui zangu hawajali maneno yako.


Warafiki na wenzangu wanaepuka kuona mateso yangu, na wandugu zangu wanakaa mbali nami.


Umebomoa kuta zote za muji wake; umezivunjavunja nafasi zake za kukimbilia.


Kwa maana hata Kristo hakufanya mambo yanayomupendeza mwenyewe sawa vile ilivyoandikwa katika Maandiko Matakatifu: “Matusi wanayokutukana, yananiangukia.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ