Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Zaburi 69:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Uniokoe, ee Mungu; maji yamenifikia katika shingo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Zaburi 69:2
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Giza limekuangukia usione kitu; mafuriko ya maji yamekufunika.


Kwa hiyo, kila mwaminifu akutolee maombi wakati wa taabu. Mafuriko ya maji hayatamufikia.


Nilimungojea Yawe kwa uvumilivu, akanielekea na kusikia kilio changu.


Katika maono hayo, niliona wanawake waliobaki katika nyumba ya kifalme ya mufalme wa Yuda wakipelekwa kwa wakubwa wa mufalme wa Babeli, nao walikuwa wakisema hivi: Warafiki zako uliowaaminia wamekudanganya, nao wamekushinda. Miguu yako imezama ndani ya matope, nao wanakugeuka na kukuacha.


Basi, wakamutwaa Yeremia wakamutia katika kisima cha Malkia mwana wa mufalme ambacho kilikuwa katika kiwanja cha walinzi. Walimushusha Yeremia ndani kwa kamba. Ndani ya kisima hicho hamukukuwa maji lakini matope, naye Yeremia akazama katika matope.


Maji yalinizunguka na kunisonga; kilindi kilinifikia kila upande, majani ya bahari yakanifunika kichwa.


Mvua ikanyesha, mito ikajaa, nao upepo ukavuma na kuishambulia nyumba ile, lakini haikuanguka, kwa sababu musingi wake ulikuwa umejengwa juu ya jiwe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ