Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Zaburi 69:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Lakini mimi ninakuomba wewe, ee Yawe. Ee Mungu, ukubali maombi yangu wakati unaopenda. Kwa wingi wa wema wako unijibu. Wewe mukombozi anayestahili kuaminiwa,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Zaburi 69:14
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini, ee Yawe, Bwana wangu, unitendee kwa heshima ya jina lako. Wema wako ni muzuri. Basi, uniokoe!


Wanasema maovu juu yangu, na kunishambulia bila sababu.


Unyooshe mukono wako kutoka juu, uniopoe katika maji haya mengi, uniokoe kutoka makucha ya wageni


Usiwaache waadui hao wabaya wanisimange, hao wanaonichukia bure, wafurahie mateso yangu.


Kama pongo anavyotamani maji ya kijito, ndivyo ninavyokutamani, ee Mungu wangu!


Roho yangu imeregea kabisa, kwa hiyo ninakukumbuka wewe, ee Mungu, kutoka katika eneo la Yordani, kutoka mulima Hermoni na Mizari.


uniokoe nisizame katika matope; uniokoe na hao wanaonichukia, unilinde salama kutoka shimo refu la maji.


Ee Bwana, wewe ni muzuri na mwenye kusamehe, mwingi wa wema kwa wote wanaokuomba.


Kutoka chini ndani ya shimo, nilikulilia ee Yawe.


Roho yangu ilipoanza kunitoka, nilikukumbuka, ee Yawe, maombi yangu yakakufikia katika hekalu lako takatifu.


Na saa tisa Yesu akalalamika: “Eloi, Eloi, lama sabaktani” maana yake “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”


Lakini wanainchi wenzake walimuchukia. Kwa hiyo wakatuma wajumbe kumufuata nyuma waende kusema: ‘Hatutaki mutu huyu kuwa mufalme wetu.’


Na sasa kwa ngambo ya wale waadui zangu walionikataa mimi kuwa mufalme wao, muwalete hapa na kuwaua mbele yangu.’ ”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ