Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Zaburi 6:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Ninahangaika sana ndani ya roho yangu. Ee Yawe, utakawia mpaka wakati gani?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Zaburi 6:4
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha nikamulilia Yawe: “Ee Yawe, tafazali uniokoe!”


Ameniokoa toka kifo na kufuta machozi yangu; akanilinda nisianguke.


Uniokoe, ee Yawe, kutoka watu wadanganyifu na waongo.


Yawe atakukinga na uovu wote; atayalinda salama maisha yako.


Mpaka wakati gani, ee Yawe, utaendelea kunisahau? Mpaka wakati gani utanificha uso wako?


Ee Yawe, simama sasa uwapiganishe na kuwaporomosha! Kwa upanga wako uokoe nafsi yangu kutoka waovu.


Lakini wewe, ee Yawe, usikae mbali nami. Ukuwe musaada wangu, ukuje haraka kunisaidia.


Usikumbuke zambi na makosa ya ujana wangu; unikumbuke kwa kadiri ya wema wako, kwa ajili ya uzuri wako, ee Yawe.


Nimekuwa kichekesho kwa watu katika barabara; walevi wanatunga nyimbo juu yangu.


Ee Mungu, mpaka wakati gani adui atakuchekelea? Watakufuru jina lako milele?


Ee Yawe, utakasirika hata milele? Hasira yako itawaka kama moto hata wakati gani?


nguruwe wa mwitu wanauharibu, na wanyama wa pori wanautafuna!


Wema wako kwangu ni mwingi sana! Umeniokoa kutoka katika kuzimu.


Ee Yawe, urudie! Utakasirika mpaka wakati gani? Utuonee huruma sisi watumishi wako.


Nilipata mateso makali kwa faida yangu; lakini umeyaokoa maisha yangu kutoka shimo la uharibifu, maana umezitupa zambi zangu nyuma yako.


Tega sikio, ee Mungu wangu; angalia uone taabu tunazokuwa nazo na jinsi huo muji unaoitwa kwa jina lako unavyotaabika. Tunakutolea maombi yetu si kwa sababu tumetenda haki, lakini kwa sababu wewe una huruma nyingi.


Tangu wakati wa babu zenu, mumeyazarau masharti yangu wala hamukuyafuata. Munirudilie, nami nitawageukia. Lakini ninyi munaniuliza: Tutakurudilia namna gani?


Basi tumusifu Mungu kwa sababu ya utukufu wa neema yake aliyotujalia kwa njia ya Mwana wake mupendwa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ