Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Zaburi 48:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Yote tuliyosikia tumejionea wenyewe katika muji wa Yawe wa majeshi, katika muji wa Mungu wetu: Mungu atauimarisha milele.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Zaburi 48:9
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, akamwambia mufalme: “Mambo yote niliyosikia katika inchi yangu juu ya kazi zako na hekima yako ni kweli!


Lakini sikuweza kuamini habari hizo mpaka nilipofika na kujionea mwenyewe. Kumbe sikuambiwa hata nusu yake; hekima yako na fanaka zako vimepita habari nilizopewa.


Upendezwe na hayo mashairi yangu, ee Yawe, maana wewe ndiye furaha yangu.


Wema wako uko mbele ya macho yangu, ninaishi kutokana na uaminifu wako.


Nimesimulia habari njema ya ukombozi, mbele ya kusanyiko kubwa la watu. Kama unavyojua, ee Yawe, mimi sikujizuia kuitangaza.


Lakini juu ya Sayuni itasemwa: “Sayuni ni mama yao wote; Mungu Mukubwa atauimarisha.”


Unipeleke, tuende haraka, mufalme amenileta katika chumba chake. Tutafurahi na kukushangilia pamoja, tutasifu mapenzi yako kuliko divai. Wabinti wana haki ya kukupenda!


Katika njia ya maamuzi yako tunakungojea ee Yawe; tamaa yetu ni kulikumbuka jina lako.


Bonde lote walimozikwa wafu na kutupiwa majivu, mashamba yote, mpaka kijito cha Kidroni, mpaka pembe ya mulango wa Farasi kuelekea upande wa mashariki, litakuwa eneo takatifu kwa Yawe. Hakuna kitakachoharibiwa humo wala kubomolewa tena milele.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ