Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Zaburi 41:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Wananitembelea bila kuwa na nia njema, wanawaza mabaya juu yangu, wanapofika inje wanawatangazia wengine.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Zaburi 41:7
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nimesahaulika kama mutu aliyekufa; nimekuwa kama chungu kilichovunjikavunjika.


Mutu mupotovu anatawanya ugomvi, na muchonganishi anatenganisha warafiki.


Bila kuni, moto unazimika; bila mwenye kuchochea, ugomvi unamalizika.


Wafarisayo walienda kufanya shauri kusudi wapate kumunasa Yesu katika masemi.


Wamejaa kila namna ya uovu, ubaya, tamaa na upotovu. Wamejaa wivu, uuaji, ugomvi, udanganyifu na ukorofi. Wao ni wenye kuchongeana,


Kwa maana ninaogopa kwamba wakati ninapokuja kwenu, sitawakuta sawa vile ninavyotaka, nanyi hamutanikuta sawa vile munavyotaka. Ninaogopa kuwakuta katika fitina, wivu, kasirani, ugomvi, masingiziano, matetano, majivuno na fujo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ