Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Zaburi 41:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Heri mutu anayeshugulikia masikini; Yawe atamwokoa wakati wa shida.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Zaburi 41:2
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Usiniache waadui wanitendee wanavyopenda; maana washuhuda wa uongo wananiinukia, nao wanatoa vitisho vyao vikali.


Yeye anawaokoa katika kifo, anawalinda wakati wa njaa.


Waliobarikiwa na Yawe watarizi inchi, lakini waliolaaniwa naye wataongolewa.


Mutu mwema anafaidika yeye mwenyewe, lakini mutu mukali anajiumiza mwenyewe.


Anayemuzarau jirani yake ni mwenye zambi, lakini ana heri yule anayekuwa mwema kwa masikini.


Anayemusaidia masikini anamukopesha Yawe; Yawe atamulipa kwa tendo lake jema.


Anafungua mukono wake kwa kuwapa wamasikini, ananyoosha mukono kwa kusaidia wakosefu.


Lakini siku hiyo mimi nitakuokoa wewe, wala hautatiwa katika mikono ya watu unaowaogopa.


Hiyo itakuwa kwa ajili ya Walawi, kwa sababu hawana fungu wala urizi wao kati yenu, nao wageni, wayatima na wajane ambao wanaishi katika miji yenu, watakuja kula na kushiba. Mufanye hivi naye Yawe, Mungu wenu, atawabariki katika kazi zenu zote munazofanya kwa mikono yenu.


Mazoezi ya mwili yana mafaa kidogo, lakini kushikamana na ibada kuna mafaa katika mambo yote, kwa maana kunatupatia ahadi ya kuishi kwa wakati huu wa sasa na kwa wakati utakaokuja.


Basi mama mukwe wake akamwuliza: “Uliokota wapi haya yote? Ulikuwa katika shamba la nani? Abarikiwe yule aliyekutendea wema.” Hapo Ruta akamwambia Naomi kwamba alikuwa akifanya kazi katika shamba la mutu aliyeitwa Boazi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ