Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Zaburi 26:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Sikusanyiki na watu wapotovu; sishirikiani na watu wanafiki.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Zaburi 26:4
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mungu anipime katika mizani ya haki, naye ataona kwamba sina kosa. Kama nimeishi kwa kufuata uongo, kama nimekimbilia kudanganya watu,


Heri mutu asiyefuata shauri la waovu, asiyeshiriki katika njia ya wenye zambi, wala kukusanyika na wenye kuzarau;


Upotovu wowote ukuwe mbali nami; sitahusika kabisa na uovu.


Muondoke kwangu, enyi waovu, kusudi nipate kushika amri za Mungu wangu.


Mimi ni rafiki ya wote wanaokuheshimu, rafiki ya wanaoshika kanuni zako.


Mulimaji mwenye bidii ana chakula tele, lakini anayefuata mambo yasiyofaa hana akili.


Anayeandamana na wenye hekima anapata hekima, lakini anayejiunga na wapumbafu atapata hasara.


Achana na ujinga upate kuishi; fuata njia ya akili.”


Mimi sikuikaa pamoja na wanaojifurahisha, wala sikufurahi pamoja nao. Niliikaa peke yangu nikilemewa na nguvu yako; kwa maana ulinijaza hasira yako.


Musidanganyike: “Warafiki wabaya wanaharibu tabia nzuri za watu.”


Kwa sababu hiyo Bwana anasema: “Mutoke kati yao, mujitenge nao. Musiguse kitu chochote kinachohesabiwa kuwa kichafu, nami nitawapokea.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ