Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Zaburi 22:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Ee Mungu wangu, ninakulilia muchana lakini haujibu; ninakulalamikia usiku, lakini sipumziki.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Zaburi 22:3
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ninalalamika: “Mateso makali!” lakini sijibiwi. Ninaita kwa sauti kubwa, lakini sipati haki yangu.


Ninakulilia, lakini haunijibu, ninasimama kuomba lakini haunisikilizi.


Yawe ni mwenye haki katika njia zake zote; ni mwema katika matendo yake yote.


Anayenitolea shukrani kama sadaka yake, huyo ndiye anayenitukuza; yeyote anayedumu katika njia yangu, huyo ndiye nitakayemwokoa.”


Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi. Wimbo wa Daudi.


Ee Yawe, mwokozi wangu, ninalia muchana kutwa, na usiku ninakulalamikia.


Mumusifu Yawe, Mungu wetu; muiname kwa mulima wake mutakatifu! Yawe, Mungu wetu, ni mutakatifu.


Walilalamikiana mumoja kwa mwengine hivi: Mutakatifu, mutakatifu, mutakatifu ni Yawe wa majeshi! Dunia yote imejaa utukufu wake.


Ee Yawe, nitakulilia mpaka wakati gani, nawe usinisikilize na kunisaidia? Kwa nini ninalia “Mateso makali!” nawe hautuokoi?


Yeye ni utukufu wenu. Yeye ni Mungu wenu ambaye amewatendea haya mambo makubwa na ya kutisha muliyoona kwa macho yenu wenyewe.


Na kila kimoja cha viumbe vya ajabu kilikuwa na mabawa sita yenye kujaa macho ndani na inje. Navyo viliimba muchana na usiku bila kuchoka, vikisema: “Mutakatifu, mutakatifu, mutakatifu ni Bwana wetu, Mungu Mwenye Uwezo, aliyekuwa, anayekuwa na anayekuja.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ