Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Zaburi 20:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Yawe akujibu unapokuwa katika taabu; jina la Mungu wa Yakobo likulinde.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Zaburi 20:2
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hata hivyo, mufalme Daudi aliteka kikingio cha Sayuni, ni kusema muji wa Daudi.


Kisha waliliingiza Sanduku la Yawe ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamisha pale na kuliweka pahali pake. Naye Daudi akatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani mbele ya Yawe.


Chumba cha ndani, kilichoitwa Pahali Patakatifu Sana, kilijengwa katika sehemu ya nyuma ya nyumba. Kilikuwa kimejengwa kwa mbao za mierezi kutokea kwenye sakafu mpaka kwenye dari, na urefu wake ulikuwa metre tisa.


Lakini wewe, ee Yawe, unanizunguka kama ngao; kwako ninapata utukufu na ushindi.


Ee Mungu, uniokoe kwa jina lako, unitetee kwa nguvu zako.


mpaka nilipoingia pahali pako patakatifu. Halafu nikatambua yatakayowapata waovu.


Jina la Yawe ni munara imara; mwenye haki anaukimbilia na kuwa salama.


Mupige vigelegele na kuimba kwa furaha, enyi wakaaji wa Sayuni, maana Mutakatifu wa Israeli ni makubwa kati yenu.


Basi watapewa jibu gani wajumbe wa taifa hilo? Wataambiwa: Yawe ameijenga imara Sayuni, na wamasikini kati ya watu wake watakimbilia kule.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ