3 Mumusifu Yawe kwa sababu yeye ni muzuri; mumutukuze kwa nyimbo, maana inafaa.
Yawe ni muzuri! Wema wake unadumu milele, na uaminifu wake kwa vizazi vyote.
Haleluia! Mumushukuru Yawe kwa sababu ni muzuri! Wema wake unadumu milele!
Mumushukuru Yawe kwa sababu ni muzuri! Wema wake unadumu milele!
Mumushukuru Yawe, kwa sababu ni muzuri! Wema wake unadumu milele!
Wewe ni muzuri na unatenda mazuri; unifundishe masharti yako.
Mumushukuru Yawe kwa sababu yeye ni muzuri! Wema wake unadumu milele!
Haleluia! Kweli ni vizuri kumwimbia Mungu wetu sifa! Inapendeza na inastahili kumwimbia.
Mushangilie kwa sababu ya Yawe, enyi watu wa haki! Watu wa usawa ndio wanaostahili kumusifu Mungu.
Nitakushukuru maisha yangu yote, nitakuomba nikikuinulia mikono yangu.
Yesu akamujibu: “Sababu gani unaniuliza juu ya jambo linalokuwa jema? Kuna mumoja tu anayekuwa mwema. Kama ukitaka kuingia pahali utakapopata uzima wa kweli, utii amri za Mungu.”