Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Zaburi 135:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Mumusifu, enyi munaokaa katika nyumba yake, ndani ya viwanja vya nyumba ya Mungu wetu!

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Zaburi 135:2
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Walisimama kwa kumushukuru na kumusifu Yawe kila siku asubui na magaribi,


Musimame vilevile Pahali Patakatifu kama vile wasimamizi wa jamaa za ukoo zenu wasiofanya kazi za ukuhani, na kila mumoja asimamie jamaa moja ya Walawi.


Walawi, ni kusema Yesua, Kadimieli, Bani, Hasabuea, Serebia, Hodia, Sebania na Petahia, wakawaambia watu: Musimame na kumusifu Yawe, Mungu wenu. Mumusifu milele na milele! Na watu wakasifu jina lako tukufu, ambalo linatukuka kuliko baraka na sifa zote.


katika kiwanja cha hekalu lake, katikati yako, ee Yerusalema. Haleluia!


Wimbo wa safari za kidini. Mukuje kumusifu Yawe, enyi watumishi wake wote, enyi wote munaotumikia ndani ya nyumba yake usiku.


Watu wa haki wanastawi kama mingazi; wanakomaa kama mierezi ya Lebanoni!


Mumupe Yawe utukufu wa jina lake. Mulete sadaka na kuingia katika viwanja vya hekalu lake.


Kisha akabaki mujane, hata akaeneza umri wa miaka makumi nane na mine. Alibaki katika hekalu, akitumikia Mungu usiku na muchana, akifunga kula chakula na kuomba.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ