Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Zaburi 135:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Haleluia! Musifu jina la Yawe, mumusifu, enyi watumishi wake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Zaburi 135:1
18 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Walifanya kazi yao ya kuimba mbele ya hema takatifu la mukutano mpaka wakati mufalme Solomono alipojenga hekalu la Yawe kule Yerusalema. Walitumika kazi yao vizuri kufuatana na zamu ya kila kundi.


Walawi, ni kusema Yesua, Kadimieli, Bani, Hasabuea, Serebia, Hodia, Sebania na Petahia, wakawaambia watu: Musimame na kumusifu Yawe, Mungu wenu. Mumusifu milele na milele! Na watu wakasifu jina lako tukufu, ambalo linatukuka kuliko baraka na sifa zote.


akasikia malalamiko ya wafungwa, akawaachilia huru waliohukumiwa kuuawa.


Haleluia! Mumushukuru Yawe kwa sababu ni muzuri! Wema wake unadumu milele!


Mumushukuru Yawe kwa wema wake na maajabu yake kwa wanadamu.


Mumushukuru Yawe kwa wema wake na maajabu yake kwa wanadamu.


Haleluia! Nitamushukuru Yawe kwa moyo wangu wote, katika mukutano wa watu wa usawa.


Haleluia! Heri mutu anayemuheshimu Yawe, anayefurahia sana kushika amri zake.


Wimbo wa safari za kidini. Mukuje kumusifu Yawe, enyi watumishi wake wote, enyi wote munaotumikia ndani ya nyumba yake usiku.


Wote musifu jina la Yawe, maana jina lake peke yake linatukuzwa; utukufu wake unapita dunia na mbingu.


Kila kiumbe chenye uzima kimusifu Yawe! Mumusifu Yawe!


Uharibifu wake utamurudilia yeye mwenyewe; ukali wake utamwangukia yeye mwenyewe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ