4 Watoto wanaokuwa na nguvu, ni kama mishale katika mikono ya askari.
Kwa mishale mikali ya waaskari, kwa makaa ya moto mukali!
Taji la sifa la wazee ni wajukuu wao. Heshima ya wana ni baba yao.
Watoto wake wanaamuka na kumushukuru, mume wake anaimba sifa zake.
Maana, mimi nitachochea mataifa makubwa kutoka inchi ya kaskazini washambulie inchi ya Babeli. Watajitayarisha kuishambulia inchi ya Babeli na kuiteka. Mishale yao ni kama shujaa hodari asiyerudi mikono mitupu.