2 Watu wa Israeli waseme: “Wema wake unadumu milele.”
Viumbe vyako vyote vitakushukuru, ee Yawe, nao waaminifu wako watakutukuza.
Basi kwa njia ya Yesu, tumutolee Mungu sadaka za kumusifu siku zote, maana yake kutangaza kwamba tunaaminia jina lake.
Na wote wanaofuata kanuni hii katika maisha yao pamoja na watu wa Mungu wanaohesabiwa kama Waisraeli wa kweli, ninawatakia amani na wema.