26 Basi, jambo Yoshua alilowatendea ni kuwaokoa toka katika mikono ya Waisraeli kusudi wasiwaue.
Sasa sisi tuko katika mikono yako, ututendee kama unavyoona vema na haki.”
Lakini kutokea siku hiyo, Yoshua akawafanya hao kuwa wakata - kuni na wachota - maji kwa ajili ya Waisraeli wote na kwa ajili ya mazabahu ya Yawe, popote pale Yawe alipochagua mpaka hivi leo.