Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 9:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Muwaache waishi.” Hivyo Wagibeoni wakakuwa wanatumikia Waisraeli wakiwakatia kuni na kuwachotea maji, kama viongozi wa Waisraeli walivyosema.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 9:21
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Misri anatoroka bila fujo kama nyoka anayekimbia; maana waadui zake wanamufikia kwa nguvu, wanamufikia kwa mashoka kama wakata miti.


watoto wenu na wake zenu, wageni wanaoishi kati yenu ambao wanakata kuni na kuwatekea maji.


Muko hapa leo kwa kufanya agano pamoja na Yawe, Mungu wenu na kulihakikisha kwa kiapo.


Mufalme Adoni-Zedeki wa Yerusalema akapata habari juu ya jinsi Yoshua alivyouteka muji wa Ai na kuuharibu kabisa akiutendea muji huo na mufalme wake kama alivyoutendea Yeriko na mufalme wake. Vilevile akapata habari kwamba wakaaji wa Gibeoni walikuwa wamefanya mapatano ya amani na Waisraeli na kwamba sasa wanaishi kati yao.


Yoshua akafanya nao mapatano ya amani; akafanya agano kwamba atawaruhusu kuishi. Viongozi wa Waisraeli wakawaapia kutimiza mapatano hayo.


Tutawaacha waishi, kusudi tusipate kuazibiwa kwa sababu ya kiapo tulichofanya.


Sasa, ninyi mumelaaniwa nanyi siku zote mutakuwa watumwa wa kukata kuni na kuchota maji kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu.”


Lakini kutokea siku hiyo, Yoshua akawafanya hao kuwa wakata - kuni na wachota - maji kwa ajili ya Waisraeli wote na kwa ajili ya mazabahu ya Yawe, popote pale Yawe alipochagua mpaka hivi leo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ