Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 9:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Siku tatu nyuma ya kufanya agano nao, Waisraeli wakagundua kwamba watu hao walikuwa jirani zao na waliishi kati yao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 9:16
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ukweli unadumu milele, lakini uongo ni wa muda kidogo tu.


Yoshua akafanya nao mapatano ya amani; akafanya agano kwamba atawaruhusu kuishi. Viongozi wa Waisraeli wakawaapia kutimiza mapatano hayo.


Basi, Waisraeli wakafunga safari, nyuma ya siku ya tatu wakafika katika miji yao. Miji hiyo ilikuwa Gibeoni, Kefira, Beroti na Kiriati-Yearimu.


Yoshua akawaita Wagibeoni na kuwauliza: “Kwa nini mulitudanganya kwamba mulitoka inchi ya mbali na wakati ninyi munaishi kati yetu?


Wakamujibu: “Sisi, watumishi wako, tumetoka inchi ya mbali na tumekuja kwa maana tumesikia sifa za jina la Yawe, Mungu wenu. Tulipata habari za utukufu wake na yote aliyoyafanya katika inchi ya Misri.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ