Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 9:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Vibuyu hivi tulivijaza maji vikiwa vipya, lakini sasa vimepasukapasuka. Hata nguo na viatu vyetu vimechakaa, maana safari ilikuwa ndefu sana.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 9:13
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Vilevile hawatii divai mupya ndani ya machupa ya ngozi yenye kuzeeka. Wakifanya vile yale machupa yanapasuka, halafu divai inamwangika, nayo machupa yanapotea bure. Lakini inafaa kutia divai mupya ndani ya machupa mapya ya ngozi, navyo vyote vinalindwa vizuri.”


Vilevile hakuna mutu anayetia divai mupya ndani ya machupa ya ngozi yenye kuzeeka. Kama akifanya vile, ile divai mupya itapasua machupa yale yenye kuzeeka, nayo divai na machupa vyote vinapotea bure. Lakini inafaa kutia divai mupya ndani ya machupa mapya ya ngozi.”


Vilevile hakuna mutu anayetia divai mupya ndani ya machupa ya ngozi yenye kuzeeka. Kama akifanya vile, ile divai mupya itapasua yale machupa; divai itamwangika na machupa yatapotea bure.


Hamukukula mukate wala kunywa divai au kileo chochote. Na hivyo mutapata kujua kwamba Yawe ni Mungu wenu.


Angalia mikate yetu ambayo ilikuwa bado moto tulipoibeba wakati tulipoondoka kwetu, lakini sasa imekauka na kuota manyoya.


Hivyo, Waisraeli wakatwaa vyakula vyao, bila kumwuliza Yawe shauri.


waliamua kutumia werevu. Wakatayarisha vyakula, wakapakiza magunia yaliyochakaa juu ya punda wao, vibuyu vilivyochakaa na kushonwa.


Wakavaa viatu, nguo zilizochakaa na vyakula vyao vyote vilikuwa vimekauka na kuota manyoya.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ