Watu wa Ai wakawaua Waisraeli makumi tatu na sita na kuwafukuza wengine kutoka mulango wa muji mpaka Sebarimu, wakawaua kwenye muteremuko. Waisraeli wakavunjika moyo na kuregea kama maji.
Nao wataendelea kutufuatilia mpaka wakuwe mbali na muji wao, maana watafikiri kwamba wanatukimbiza kama vile walivyofanya mbele. Sisi tutawaacha watufukuze.