Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 8:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Akawaamuru hivi: “Ninyi mutauvizia muji kutoka upande wa nyuma. Musiende mbali na muji, lakini mukuwe tayari wakati wote.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 8:4
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ingawa kulikuwa bado giza, mufalme aliamuka na kuwaambia wakubwa wa waaskari wake: “Mimi ninajua mupango wa Waaramu! Wanajua tuna njaa katika muji. Sasa wameacha kambi yao kwenda kujificha kusudi tutakapokwenda kutafuta chakula, watukamate wote tungali wazima na kuuteka muji.”


Lakini wakati ule, Yeroboamu alikuwa amekwisha kutuma waaskari wake wamoja kushambulia jeshi la Yuda kutoka upande wa nyuma, wakati wale wengine wamewashambulia kutoka upande wa mbele.


Hekima inamufanya mwenye hekima kuwa na nguvu zaidi kuliko watawala kumi katika muji.


Basi, mimi ninasema, hekima ni bora kuliko nguvu, ingawa hekima ya masikini inazarauliwa, na maneno yake hayasikilizwi.


Lakini wewe usikubali ombi lao, kwa sababu kuna watu zaidi ya makumi ine wanaovizia kumwua. Watu hawa wamefanya kiapo kwamba hawatakula wala kunywa mpaka wamwue Paulo kwanza.”


Watu wote waliokuwa katika muji wakaitwa wawafuatilie Waisraeli; na walipokuwa wanamufuatilia Yoshua, walitoka na kwenda mbali na muji wao.


Basi, Yoshua akaondoka, pamoja na waaskari wake wote kwenda Ai. Akawachagua watu hodari elfu makumi tatu na kuwaambia watangulie wakati wa usiku.


Hivyo, Waisraeli wakaweka watu kwenye maficho kuuzunguka muji wa Gibea.


Hivyo watu wote wa Israeli wakatoka kwenye sehemu yao na kujipanga tena kule Bali-Tamari. Wenzao waliokuwa wanafichama wakatoka haraka pahali pao upande wa magaribi wa muji wa Gibea.


Kwa hiyo watu wa kabila la Benjamina wakaona kwamba wameshindwa. Waisraeli wakarudi nyuma sawa vile wanawakimbia watu wa kabila la Benjamina, maana walitegemea wenzao waliokuwa wamewekwa kufichamia muji wa Gibea.


Watu wa Sekemu waliweka washambulizi wamuvizie Abimeleki kutoka vilele vya mulima. Watu hao waliwanyanganya mali zao wote waliopita kule. Abimeleki alipata habari hii.


Basi, rudi wewe na watu unaokuwa nao, wakati wa usiku, uvizie katika mashamba karibu na muji.


Yawe wa majeshi anasema hivi: ‘Nitawaazibu Waamaleki kwa ajili ya mambo waliyowatendea Waisraeli: wao waliwafungia njia walipokuwa wanatoka Misri.


Halafu yeye na watu wake wakaenda kwenye muji wa Amaleki, wakajificha wakivizia katika bonde.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ