27 Waisraeli waliteka tu nyama na mali kama vile Yawe alivyomwamuru Yoshua.
maana nyama wote wa pori ni mali yangu, na maelfu ya nyama wa milima ni wangu.
Zahabu, feza, shaba, chuma, manjanja na madini ya risasi,
Wewe na kuhani Eleazari, pamoja na viongozi wa ukoo wa Waisraeli, mufanye hesabu ya vitu vilivyonyanganywa, watu na nyama.
Sina haki ya kutumia mali yangu sawa ninavyotaka? Unapatwa na wivu kwa sababu mimi ni mwema?’ ”
Lakini mifugo yote na mali tukaviteka.
Basi, wakatoka wote na makundi yao makubwa ya waaskari. Nao walikuwa wengi kama muchanga wa bahari pamoja na magari mengi na farasi wengi sana.
Mutautendea muji wa Ai pamoja na mufalme wake kama vile mulivyoutendea muji wa Yeriko pamoja na mufalme wake. Mali zake pamoja na nyama wake mutakayoteka itakuwa ni mali yenu. Muende muushambulie muji kutoka upande wa nyuma.”
Basi, Yoshua aliuteketeza muji wa Ai kwa moto na kuufanya mabomoko mpaka hivi leo.