25 Jumla ya watu wa Ai waliouawa siku hiyo, wanaume na wanawake, walikuwa elfu kumi na mbili.
Waisraeli walipomaliza kabisa kuwaua watu wote wa Ai kule katika jangwa ambako waliwafuatilia wakarudi katika muji wa Ai na kuwaua wote waliobaki mule.