Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 8:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Yoshua na Waisraeli wote walipoona kwamba kundi lililokuwa linavizia limeuteka muji, na kwamba moshi ulikuwa unapanda juu, waliwageukia na kuanza kuwaua.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 8:21
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yoabu alipoona kwamba ilimupasa kupigana kwa upande wa mbele na nyuma, alichagua waaskari wamoja Waisraeli hodari zaidi, akawapanga mbele ya Waaramu.


Mufalme Adoni-Zedeki wa Yerusalema akapata habari juu ya jinsi Yoshua alivyouteka muji wa Ai na kuuharibu kabisa akiutendea muji huo na mufalme wake kama alivyoutendea Yeriko na mufalme wake. Vilevile akapata habari kwamba wakaaji wa Gibeoni walikuwa wamefanya mapatano ya amani na Waisraeli na kwamba sasa wanaishi kati yao.


Watu wa Ai walipoangalia nyuma, wakaona moshi ukitoka katika muji ukipanda mpaka mbinguni. Nao hawakukuwa na uwezo wa kukimbia upande wowote, maana Waisraeli waliwageukia wale waliokuwa wanawafuatilia.


Watu waliobaki katika muji walitoka, lakini wote wakakuwa wamezungukwa na Waisraeli; nao wakauawa, wala hakukubaki hata mumoja wao.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ