Yoshua 8:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 Watu wote waliokuwa katika muji wakaitwa wawafuatilie Waisraeli; na walipokuwa wanamufuatilia Yoshua, walitoka na kwenda mbali na muji wao. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Kisha watu wa kabila la Benjamina walipotoka katika muji kwa kuanza kupigana na Waisraeli, walivutwa kutoka inje ya muji. Ilitokea tena kama walivyofanya nyakati za mbele. Wakawaua wamoja kati ya watu wa Israeli kwenye njia kubwa zinazoelekea miji ya Beteli na Gibea, mpaka katika mbuga. Waliua Waisraeli yapata makumi tatu.