11 Waaskari wote waliofuatana naye walikaribia muji na kupiga kambi upande wake wa kaskazini, ngambo ya bonde kuelekeana na muji wa Ai.
Yoshua akaamuka asubui mapema, akawakusanya Waisraeli na kuelekea katika muji wa Ai, akiwa pamoja na wazee.
Halafu akatwaa watu wengine elfu tano na kuwaweka wavizie kati ya muji wa Beteli na Ai, upande wa magaribi wa muji wa Ai.