Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 8:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Yoshua akaamuka asubui mapema, akawakusanya Waisraeli na kuelekea katika muji wa Ai, akiwa pamoja na wazee.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 8:10
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, kesho yake, Abrahamu akaamuka asubui mapema, akatandika punda wake, akawatwaa watumishi wake wawili pamoja na Isaka mwana wake. Akatayarisha kuni kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa kwa moto, kisha akaanza safari kuelekea pahali alipoambiwa na Mungu.


Bila kukawia ninafanya haraka kushika amri zako.


Asubui mapema Yoshua pamoja na watu wote wa Israeli walianza safari kutoka Sitimu. Walipofika kwa muto Yordani, walipiga kambi hapo kwa muda mbele ya kuvuka.


Asubui yake Yoshua akaamuka mapema sana, na makuhani wakalibeba lile Sanduku la Agano la Yawe.


Basi, Yoshua akaamuka asubui mapema, akawaleta Waisraeli wote karibu, kabila kwa kabila. Kabila la Yuda likachaguliwa.


Waaskari wote waliofuatana naye walikaribia muji na kupiga kambi upande wake wa kaskazini, ngambo ya bonde kuelekeana na muji wa Ai.


Basi, Yoshua akawaambia waende pahali pao pa kuvizia; nao wakajiweka upande wa magaribi wa muji wa Ai, kati ya muji wa Ai na Beteli. Lakini Yoshua akalala usiku huo katika kambi ya Waisraeli.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ