Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 7:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Basi, Wakanana pamoja na wakaaji wote wa inchi hii watakapopata habari hiyo watatuzunguka na kutufuta kabisa katika dunia. Sasa utafanya nini kwa kuonyesha ukubwa wa jina lako?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 7:9
19 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Si sisi, ee Yawe, si sisi; lakini wewe peke yako utukuzwe, kwa ajili ya wema na uaminifu wako.


Ee Mungu, tunakumbuka wema wako tunapokuwa katika hekalu lako.


Utusaidie, ee Mungu, mwokozi wetu kwa utukufu wa jina lako. Utuokoe na kutusamehe zambi zetu, kwa ajili ya jina lako.


Wanafanya mipango mibaya kwa kuwazuru watu wako; wanashauriana juu ya hao unaowalinda.


Wanasema: “Mukuje tuangamize taifa lao, hata jina la Israeli lisikumbukwe tena.”


Ukifanya hivyo, hakika Wamisri watasema: Aliwatoa kwa nia mbaya kwa kuwaua kwenye mulima na kuwateketeza kabisa katika dunia. Ee Yawe, tuliza hasira yako kali na kuacha jambo hilo baya ulilokusudia kufanya juu ya watu wako.


Lakini nilijizuiza kufanya hivyo kwa heshima ya jina langu kusudi lisizarauliwe kati ya watu wa mataifa wanaoishi nao, hao walioona nikijijulisha kwa Waisraeli wakati wa kuwatoa katika inchi ya Misri.


Kati ya mazabahu na mulango wa hekalu, makuhani wanaomutumikia Yawe, walie na kuomba wakisema: Uwahurumie watu wako, ee Yawe. Usiyaache mataifa mengine yatuzarau na kutuchekelea yakisema: Yuko wapi basi Mungu wao?


Halafu adui yangu ataona hayo naye atafunikwa na haya; maana aliniambia: Basi Yawe, Mungu wako, yuko wapi? Mimi mwenyewe nitamwona adui akianguka; atakanyagwakanyagwa chini kama matope katika njia.


Lakini Musa akamwambia Yawe: Uliwatoa watu hawa katika inchi ya Misri kwa nguvu yako. Wamisri watakaposikia kwamba umewatendea watu wako hivyo,


Baba, utukuze jina lako!” Halafu sauti ikasikilika toka mbinguni ikisema: “Nimelitukuza, nami nitalitukuza tena.”


Watu wa kule ulikotutoa wasiseme: ‘Yawe aliwatoa kusudi awaue katika jangwa kwa sababu hakuweza kuwaingiza katika inchi aliyowaahidi na kwa sababu aliwachukia’.


Yawe akamwambia Yoshua: “Simama! Mbona umejitupa chini hivyo?


Ee Bwana, niseme nini wakati Waisraeli wamewakimbia waadui zao?


Kwa heshima ya jina lake kubwa, Yawe hatawatupa watu wake kwa sababu amependa kuwafanya ninyi mukuwe watu wake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ