Yoshua 6:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
16 Ilipofika mara ya saba, wakati makuhani walipokwisha kupiga mabaragumu, Yoshua akawaambia watu: “Mupige kelele, kwa kuwa Yawe amekwisha kuwapa huu muji!
Halafu waaskari wa Yuda wakapiga kelele la vita, na walipofanya hivyo, Mungu akamushinda Yeroboamu na jeshi lake la Waisraeli mbele ya Abiya na watu wa Yuda.
Watakapopiga hayo mabaragumu kwa mulio mukubwa na mara tu mutakaposikia huo mulio, watu wote watapiga kelele kubwa, nazo kuta za muji zitaanguka chini. Halafu watu wataushambulia muji kila mumoja kutoka pahali aliposimama.”