Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 6:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Siku ya saba, waliamuka asubui mapema, wakauzunguka muji ule mara saba. Ilikuwa ni siku hiyo tu ambayo waliuzunguka muji ule mara saba.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 6:15
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ninaamuka mbele ya mapambazuko na kukuomba musaada; ninaweka tumaini langu katika maneno yako.


Siku ya Sabato ilipokwisha kupita, kesho yake siku ya kwanza ya juma, kwa wakati wa mapambazuko, Maria wa Magdala na Maria mwingine wakaenda kuangalia kaburi.


Kwa njia ya imani, ukuta uliozunguka muji Yeriko ulianguka wakati Waisraeli walipokwisha kuuzunguka kwa muda wa siku saba.


Asubui mapema Yoshua pamoja na watu wote wa Israeli walianza safari kutoka Sitimu. Walipofika kwa muto Yordani, walipiga kambi hapo kwa muda mbele ya kuvuka.


Kwa siku ya pili, waliuzunguka ule muji mara moja; na kurudi tena katika kambi kwao. Wakafanya hivyo kwa muda wa siku sita.


Ilipofika mara ya saba, wakati makuhani walipokwisha kupiga mabaragumu, Yoshua akawaambia watu: “Mupige kelele, kwa kuwa Yawe amekwisha kuwapa huu muji!


Vilevile tunaamini ujumbe uliotangazwa na manabii. Ninyi munafanya vema mukishikamana nao. Ujumbe huo ni kama taa inayoangaza pahali pa giza, mpaka wakati wa mapambazuko na wakati nyota ya asubui itakapoangazia mioyo yenu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ