11 Basi, Yoshua akawaamuru wale watu wauzunguke muji mara moja kila siku wakiwa wanabeba Sanduku la Agano la Yawe na kurudi katika kambi kulala usiku.
Lakini Yoshua akawaamuru watu: “Musipige kelele au kutoa sauti, wala neno lolote lisitoke katika vinywa vyenu, mpaka siku ile ambapo nitawaambia mupige kelele; wakati ule ndipo mutakapopiga kelele.”
Asubui yake Yoshua akaamuka mapema sana, na makuhani wakalibeba lile Sanduku la Agano la Yawe.
Kwa siku ya pili, waliuzunguka ule muji mara moja; na kurudi tena katika kambi kwao. Wakafanya hivyo kwa muda wa siku sita.
Wewe na wale watu wenye silaha wote mutauzunguka ule muji mara moja kila siku kwa muda wa siku sita.