Yoshua 6:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 Lakini Yoshua akawaamuru watu: “Musipige kelele au kutoa sauti, wala neno lolote lisitoke katika vinywa vyenu, mpaka siku ile ambapo nitawaambia mupige kelele; wakati ule ndipo mutakapopiga kelele.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |