Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 5:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Wakati ule, Yawe akamwambia Yoshua: “Tengeneza visu vya jiwe gumu kusudi uwatahiri Waisraeli.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 5:2
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa hiyo Zipora akakimbia haraka, akatwaa jiwe kali, akakata govi la mwana wake na kumugusa nalo Musa kwenye miguu akisema: “Wewe ni bwana-arusi wa damu.”


Lakini Muyuda wa kweli ni yule anayekuwa Muyuda kwa ndani, nako kutahiriwa kwa kweli ni kule Roho Mutakatifu anakofanya ndani ya moyo wa mutu, wala si kule kunakofanyika kwa njia ya maandiko ya Sheria. Mutu wa namna hii hapati sifa kutoka kwa watu lakini kutoka kwa Mungu.


Nyuma ya pale alitahiriwa, na kutahiriwa kwake kulikuwa kitambulisho cha kuhakikisha ile haki Mungu aliyomuhesabia kwa njia ya imani yake. Hivi Abrahamu akakuwa baba wa watu wote wanaoamini, ijapokuwa hawatahiriwi, kusudi wao vilevile wahesabiwe haki.


Kwa hiyo, mutahiri magovi ya mioyo yenu, musikuwe wagumu tena.


Yawe, Mungu wenu, atawafanya ninyi na wazao wenu mukuwe na moyo wa utii kusudi mumupende yeye kwa moyo wenu wote na roho yenu, mupate kuishi.


Katika kuungana naye, mumetahiriwa wala si kwa mikono ya watu, lakini mumetahiriwa na Kristo, na kutahiriwa kule kumewakomboa toka katika hali zaifu ya kimwili.


Basi, Yoshua akatengeneza visu hivyo vya jiwe gumu na kuwatahiri Waisraeli kule Gibea-Haraloti.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ