Yoshua 5:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Siku moja Yoshua alipokuwa karibu na muji wa Yeriko, aliona kwa rafla mutu mumoja akisimama mbele yake na upanga uliochomolewa katika mukono wake. Yoshua akamwendea, akamwuliza: “Wewe ni wetu au ni wa waadui zetu?” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |