Yoshua 4:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Wale wanaume wakafanya kama vile walivyoamriwa na Yoshua, wakatwaa mawe kumi na mawili kutoka katikati ya muto Yordani, jiwe moja kwa ajili ya kila kabila la Israeli, kama Yawe alivyomwambia Yoshua, wakaenda nayo mpaka pahali pale walipolala, wakayaweka kule. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |