16 “Uamuru makuhani wanaobeba sanduku la agano, watoke katika muto Yordani.”
Kisha Yawe akamwambia Yoshua:
Basi, Yoshua akawaamuru wale makuhani: “Mutoke katika muto Yordani.”
Kisha hekalu la Mungu linalokuwa mbinguni likafunguliwa, na Sanduku la Agano lake likaonekana ndani yake. Halafu kukatokea umeme, makelele, ngurumo ya radi, tetemeko la inchi na mvua kubwa ya mawe.