15 Kisha Yawe akamwambia Yoshua:
Katika siku hiyo Yawe akamutukuza Yoshua mbele ya Waisraeli wote, nao wakamuheshimu Yoshua maisha yake yote kama walivyomuheshimu Musa katika maisha yake.
“Uamuru makuhani wanaobeba sanduku la agano, watoke katika muto Yordani.”