Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 24:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Nilituma nyuki mbele yenu ambazo ziliwafukuza wafalme wawili wa Waamori. Hamukufanya yale kwa kukamata mapanga wala mishale yenu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 24:12
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

kama vile Sihoni mufalme wa Waamori, Ogi mufalme wa Basani, na wafalme wote wa Kanana.


Uliupalilia upate kukomaa, nao ukatoa mizizi na kuenea katika inchi yote.


Uliongoa muzabibu kutoka Misri; ukawafukuza watu wa mataifa, na kuupandikiza katika inchi yao.


Nitatuma nyuki mbele yenu ambazo zitawafukuza Wahivi, Wakanana na Wahiti.


Mipaka ya inchi yenu itakuwa kutoka bahari Nyekundu mpaka bahari ya Mediteranea na kutoka jangwa mpaka muto Furati. Nitawatia wakaaji wa inchi ile katika mikono yenu, nanyi mutawafukuza wawaondokee.


Basi, Waisraeli wakakaa katika inchi ya Waamori.


Kisha Musa akatuma watu wapeleleze muji wa Yazeri; wakauteka pamoja na vijiji vyake, wakawafukuza Waamori waliokaa humo.


Yawe atayaangamiza mataifa hayo kama vile alivyowaangamiza Sihoni na Ogi, wafalme wa Waamori, na inchi yao.


wakiwa ngambo ya muto Yordani, katika bonde linalokuwa mbele ya Beti-Peori, katika inchi iliyokuwa ya mufalme Sihoni wa Waamori, aliyetawala kutoka katika muji wa Hesiboni, ambaye Musa na Waisraeli walimushinda walipotoka Misri.


Walitwaa inchi yake na inchi ya mufalme Ogi wa Basani. Wafalme hao wawili wa Waamori walitawala huko upande wa mashariki wa muto Yordani.


Zaidi ya hayo, Yawe, Mungu wenu, atatuma nyuki kati yao na kuwaangamiza wale ambao watawatoroka kwa kujificha.


Maana tumesikia jinsi Yawe alivyoyakausha maji ya bahari Nyekundu mbele yenu mulipotoka inchi ya Misri, na jinsi mulivyowatendea wafalme wawili wa Waamori waliokuwa ngambo ya muto Yordani, ni kusema Sihoni na Ogi, ambao muliwaangamiza kabisa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ