Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 23:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Inchi za mataifa yaliyobaki na yale niliyoyaangamiza nimewagawanyia zikuwe mali ya makabila yenu, kutoka Yordani mpaka bahari ya Mediteranea, upande wa magaribi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 23:4
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Alisema: “Nitawapa inchi ya Kanana, nayo itakuwa mali yenu wenyewe.”


Alifukuza mataifa mbele yao, akatoa inchi zao zikuwe mali ya Israeli, akaikalisha makabila ya Israeli katika mahema zao.


Lakini nitawaondoa kidogokidogo mpaka pale mutakapoongezeka na kurizi ile inchi.


Yawe anasema: Nimeyateketeza kabisa mataifa; kuta zao za kujikinga ni mabomoko. Barabara zao nimeziharibu, na hakuna anayepita ndani yake. Miji yao imekuwa mitupu, bila watu, na bila wakaaji.


“Yawe, Mungu wenu ataangamiza mataifa mbele yenu, hayo ambayo munakwenda kuyafukuza, kuyatoa na kukaa katika inchi yao.


Sehemu hizo ni: inchi yote ya Wafilistini na inchi yote ya Wagesuri,


Kule Shilo, Yoshua akazipigia kura sehemu hizo mbele ya Yawe, akawagawanyia Waisraeli; kila kabila na sehemu yake.


sitayafukuza tena mataifa ambayo Yoshua aliyaacha, wakati alipokufa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ