Yoshua 22:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200234 Watu wa makabila ya Rubeni na Gadi wakaiita ile mazabahu “Ushuhuda”, maana walisema: “Mazabahu hii ni ushuhuda wetu kwamba Yawe ndiye Mungu.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
lakini tulitaka mazabahu hii ikuwe ushuhuda kati yetu na ninyi na vizazi vyetu vinavyokuja kwamba sisi tuna haki ya kumutumikia Yawe kwa sadaka zetu za kuteketezwa kwa moto na sadaka zetu zingine, na kwa sadaka zetu za amani, kusudi watoto wenu wasipate kuwaambia watoto wetu kwamba hawana fungu lolote lao kwa Yawe.