14 Finehasi akaondoka pamoja na wakubwa kumi, kila mumoja akiwa mukubwa wa jamaa katika kabila lake.
Basi, akachagua watu wenye uwezo kati ya Waisraeli, akawafanya kuwa viongozi wa makundi ya watu elfu, watu mia, watu makumi tano na watu kumikumi.
Kiongozi mumoja wa jamaa kutoka kila kabila atakusaidia kufanya hesabu.
Nao wakawaendea watu wa makabila ya Rubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manase kule Gileadi wakawaambia: