Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Yoshua 21:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Haya ndiyo majina ya miji kutoka kwenye maeneo ya kabila la Yuda na Simeoni ambayo ilitolewa kwa

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Yoshua 21:9
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Huu ndio urizi wao kulingana na mipaka yake: wazao wa Haruni katika jamaa ya Wakohati kulingana na kura yao,


Katika kabila la Gadi walipewa Ramoti katika Gileadi pamoja na malisho yake, Mahanaimu pamoja na mashamba yake ya malisho,


Nao Edeni, Miniamini, Yesua, Semaya, Amaria na Sekania, walimusaidia kufanya kazi hiyo kwa uaminifu katika ile miji mingine makuhani walimoishi. Waliwagawanyia wandugu zao Walawi vyakula, kwa wakubwa kama vile kwa wadogo.


wazao wa kuhani Haruni, waliokuwa jamaa za ukoo wa Kohati ambaye alikuwa wa kabila la Lawi. Sehemu yao walipata kwanza maana kura yao ilitokea kwanza.


Kura ya kwanza ilizipata jamaa za ukoo wa Kohati. Kati ya wazao wa kuhani Haruni walipewa kwa kura, miji iliyokuwa katika maeneo ya makabila ya Yuda, Simeoni, na Benjamina. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na mitatu.


Waisraeli wakawapa Walawi miji hiyo pamoja na vijiji vya malisho yao, kama Yawe alivyomwagiza Musa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ